DUDU BAYA ATAJA NJIA MPYA YA KUJIKINGA NA UKIMWI (+VIDEO)
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Dudu Baya amewataka Watanzania wasome biblia na kufuata amri 10 za Mungu kama njia ya kujinusuru na ugonjwa wa UKIMWI.
Dudu Baya akiongea na bongo5, amesema kuwa kama mtu atazingatia na kuzifuata amri hizo, Basi hawezi kupata UKIMWI.
Kwenye amri hizo, Amri ya sita inasema “USIZINI” na ndio ambayo Dudu Baya amesema endapo utazitii amri zote huwezi kupata UKIMWI.