Breaking News

KAMPUNI YA NIKE YAMPA DILI JINGINE RONALDO



Mchezaji Christiano Ronaldo ambaye ametwaa tuzo ya mwanasoka bora wa dunia mara tano, atapata dola za Kimarekani Milioni 139 katika mkataba wake na kampuni ya kutengeneza vifaa vya michezo ya Nike.

Ronaldo ambaye alijiunga na Juventus mwaka jana, akitokea Real Madrid, pia amekuwa na mkataba na kampuni kubwa ya nguo ya Marekani tangu mwaka 2004.

Usikubali kupitwa na chochote kile tembelea App hii kila mara kupata Habari zote zinazojiri Tanzania na nje ya Tanzania katika Michezo, Magazeti, Mahusiano, Elimu, Ajira, Video, Audios, Tamthilia na Udaku.