KESI YA MAUAJI YA NAOMI UPELELEZI WAFIKIA HAPA
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
UPANDE wa Jamhuri leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umesema upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe, Naomi Marijani, upo katika hatua za mwisho kukamilika.
Akiiambia mahakam hiyo Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, amemweleza Hakimu Mkazi, Salum Ally, kuwa upelelezi wa kesi hiyo upo katika hatua nzuri na za mwisho kukamilika. Wankyo ameomba shauri hilo liahirishwe hadi tarehe nyingine.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 7, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa na mshtakiwa amerudishwa rumande. Mshitakiwa anakabiliwa na kosa la mauaji ambapo anadaiwa alilitenda Mei 15, 2019, katika oneo la Geza Ulole Kigamboni Dar es Salaam alipomuua mtu anayeitwa Naomi Marajani.
Hamis anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa kisha kuyafukia shambani majivu ya mwili wa marehemu.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
UPANDE wa Jamhuri leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umesema upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said (38), anayetuhumiwa kumuua mkewe, Naomi Marijani, upo katika hatua za mwisho kukamilika.
Akiiambia mahakam hiyo Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, amemweleza Hakimu Mkazi, Salum Ally, kuwa upelelezi wa kesi hiyo upo katika hatua nzuri na za mwisho kukamilika. Wankyo ameomba shauri hilo liahirishwe hadi tarehe nyingine.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Oktoba 7, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa na mshtakiwa amerudishwa rumande. Mshitakiwa anakabiliwa na kosa la mauaji ambapo anadaiwa alilitenda Mei 15, 2019, katika oneo la Geza Ulole Kigamboni Dar es Salaam alipomuua mtu anayeitwa Naomi Marajani.
Hamis anadaiwa kumuua mke wake Naomi kisha kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa kisha kuyafukia shambani majivu ya mwili wa marehemu.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
