NANDY AFUNGUKA KUHUSU MIMBA YAKE
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
BAADA ya habari kuzagaa kuwa ana mimba, mrembo anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amevunja ukimya na kueleza ukweli.
Akibonga na Mikito Nusunusu, Nandy alisema kuwa hana mimba bali amekuwa na kitambi tu ambacho kinamkosesha raha kwani watu wengi wanajua kuwa ni mama kijacho.
“Jamani sina mimba, hiki kitambi tu sijui hata kimetokea wapi, hivi nafanya mpango wa kukipunguza maana kinanikosesha raha na kila mtu anaamini nina mimba jambo ambalo si kweli kwani sina mpango wa kupata mtoto kabla ya ndoa,” alisema Nandy.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
BAADA ya habari kuzagaa kuwa ana mimba, mrembo anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’ amevunja ukimya na kueleza ukweli.
Akibonga na Mikito Nusunusu, Nandy alisema kuwa hana mimba bali amekuwa na kitambi tu ambacho kinamkosesha raha kwani watu wengi wanajua kuwa ni mama kijacho.
“Jamani sina mimba, hiki kitambi tu sijui hata kimetokea wapi, hivi nafanya mpango wa kukipunguza maana kinanikosesha raha na kila mtu anaamini nina mimba jambo ambalo si kweli kwani sina mpango wa kupata mtoto kabla ya ndoa,” alisema Nandy.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
