Breaking News

RAFA NADAL ASHINDA UBINGWA WA US OPEN 2019


Mhispania Rafa Nadal ameshinda ubingwa wa US Open 2019 baada ya kumfunga Mrusi Daniil Medvedev kwa seti 7–5, 6–3, 5–7, 4–6, 6–4 katika mchezo wa fainali.

Nadal,33, sasa ameshinda ubingwa wa US Open kwa mara ya nne na hii ni Grand Slam yake ya 19 kuchukua, moja nyuma ya Roger Federer mwenye 20.

Usikubali kupitwa na chochote kile tembelea App hii kila mara kupata Habari zote zinazojiri Tanzania na nje ya Tanzania katika Michezo, Magazeti, Mahusiano, Elimu, Ajira, Video, Audios, Tamthilia na Udaku.