YANGA YAIFUATA ZESCO UNITED
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Kikosi cha Yanga kimeondoka leo kwenda Zambia kwaajili ya mchezo wa marudiano na Zesco United unaotarajiwa kufanyika Ijumaa, Septemba 27, katola Uwanja wa Levy Mwanawasa mjini Ndola ikiwa ni hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatakiwa kushinda ugenini baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita Septemba 14.
Huku Azam FC inayowakilisha katika michuano ya Kombel la Shirikisho Afrika ikiwa imeweka kambi jijini Harare, Zimbabwe tayari kwaajili ya mchezo wao utakaofanyika huko Bulawayo dhidi ya Timu ya TriAngle.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Kikosi cha Yanga kimeondoka leo kwenda Zambia kwaajili ya mchezo wa marudiano na Zesco United unaotarajiwa kufanyika Ijumaa, Septemba 27, katola Uwanja wa Levy Mwanawasa mjini Ndola ikiwa ni hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Yanga inatakiwa kushinda ugenini baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 nyumbani katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi iliyopita Septemba 14.
Huku Azam FC inayowakilisha katika michuano ya Kombel la Shirikisho Afrika ikiwa imeweka kambi jijini Harare, Zimbabwe tayari kwaajili ya mchezo wao utakaofanyika huko Bulawayo dhidi ya Timu ya TriAngle.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
