MBASHA AINGIA CLUB KWA MARA YA KWANZA
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Muimbaji wa Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha usiku wa kuamkia jana ameingia Club kwa mara ya kwanza kwa mualiko maalumu kutoka kwa Diamond Platnumz pia kuangalia namna ya kutoa neno la Mungu kwenye kumbi za starehe kama Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam mwezi uliopita alivyowaomba viongozi wa dini kufanya hivyo.