Breaking News

MBASHA AINGIA CLUB KWA MARA YA KWANZA

Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi

ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA 
HAKIKISHA UMEUPDATE

Muimbaji wa Injili nchini Tanzania, Emmanuel Mbasha usiku wa kuamkia jana ameingia Club kwa mara ya kwanza kwa mualiko maalumu kutoka kwa Diamond Platnumz pia kuangalia namna ya kutoa neno la Mungu kwenye kumbi za starehe kama Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam mwezi uliopita alivyowaomba viongozi wa dini kufanya hivyo.



Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.