Breaking News

MWANAUME AISHTAKI KAMPUNI KWA KUMSABABISHIA AWE SHOGA....

Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi

ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA 
HAKIKISHA UMEUPDATE


Mwanaume mmoja wa Urusi ameishtaki kampuni ya Apple, akidai kuwa programu ya GuyCoin inayopatikana katika simu ya iPhone ilimgeuza kuwa shoga.

Amesema anataka alipwe paundi 12,000 kwa sababu program hiyo imemuathiri mpaka sasa ameolewa na bwana,

Amesema alivyopita kwenye program hiyo ya Guycoin akajikuta anatamani kujaribu kufanya mapenzi ya jinsia moja ndipo akaamua kutafuta mwanaume, amesema kwa sasa ameathirika kimwili na kiakili mpaka haelewi atawaaelezaje wazazi wake kuwa ana mume.

Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.