VIDEO: WAZIRI SHONZA AMWOMBA RADHI MAGUFULI KISA!
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Juliana Shonza amewaombea radhi wananchi wa jimbo la Momba kwa kuchagua mbunge wa upinzani na kuahidi hilo halitajirudia.
Shonza ameomba msamaha huo mbele ya Rais John Magufuli aliyekuwa njiani kutoka mkoa wa Songwe kwenda Katavi akiahidi kosa hilo halitafanyika tena mwaka 2020 kwa kuwa upinzani hautapewa nafasi.
Mbunge wa Momba ni David Silinde wa Chadema.
“Nachukua nafasi hii kuomba radhi kwa niaba ya wananchi, tunaahidi hatutarudia makosa, upinzani hautakuwa na nafasi katika mkoa wa Songwe kuanzia viongozi wa chini hadi juu kote itakuwa kijani,” amesema Shonza.
Kwa upande wake, Rais Magufuli amewataka wakazi wa jimbo hilo kuwalaumu viongozi wao kwa kushindwa kutatua kero ya uhaba wa maji.
Chanzo: Mwananchi
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini Tanzania, Juliana Shonza amewaombea radhi wananchi wa jimbo la Momba kwa kuchagua mbunge wa upinzani na kuahidi hilo halitajirudia.
Shonza ameomba msamaha huo mbele ya Rais John Magufuli aliyekuwa njiani kutoka mkoa wa Songwe kwenda Katavi akiahidi kosa hilo halitafanyika tena mwaka 2020 kwa kuwa upinzani hautapewa nafasi.
Mbunge wa Momba ni David Silinde wa Chadema.
“Nachukua nafasi hii kuomba radhi kwa niaba ya wananchi, tunaahidi hatutarudia makosa, upinzani hautakuwa na nafasi katika mkoa wa Songwe kuanzia viongozi wa chini hadi juu kote itakuwa kijani,” amesema Shonza.
Kwa upande wake, Rais Magufuli amewataka wakazi wa jimbo hilo kuwalaumu viongozi wao kwa kushindwa kutatua kero ya uhaba wa maji.
Chanzo: Mwananchi
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
