Breaking News

HARMONIZE ATANGAZA KUGAWA CHAKULA BURE MTAANI

Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi

ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA 
HAKIKISHA UMEUPDATE

Msanii wa Muziki, Harmonize baada ya jana kutangaza kuwa na mgahawa leo ameweka wazi Mgahawa (Konge Boy) huo utakuwa unafanya nini.

Harmonize amesema kuwa mgahawa huo utakuwa ni wa bure kwa watu ambao wapo mtaani mambo hayajakaa sawa.
Loading...

Ameongeza kuwa kusema kuwa sisi sote ni wa Mungu mmoja hatokula na kusaza ila atagawana na watu.

"Free...!!! free...!!! food 📢📢 Bure..!!!! Coming on your street in few days
Mana Kunawatu Wanajua Ni Biashara Yani Jeshi Atauza Walii...!!!! 🤣🤣🤣 Mtamuuwa na pressure Dada Yangu Kipenzi, Shilole .Hii Itakuwa Ni Bure.....!!!! Kabisa Kwa Wanangu Wa Mtaani Ambao Bado Mambo Yao Hajakaa Kwenye Line Sisi Sote Ni Wa Mungu Mmoja Sitokula Na Kusaza #Tutagawana ," ameandika Harmonize kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.