Breaking News

KAMA WEWE NI MTUMIAJI WA IPHONE, TAARIFA HII INAKUHUSU

Kwa watumiaji wa iPhone na wale wenye lengo la kununua simu hizo, Kesho Septemba 10, 2019  kampuni ya Apple Inc. Inatarajia kufanya mkutano wao wa kila mwaka utakaoambatana na uzinduzi wa matoleo mapya ya simu za iPhone 11.
Matoleo hayo ni iPhone 11, 11 Pro na 11 MAX na 11R, Na imeelezwa kuwa matoleo yote yameboreshwa zaidi kwenye kamera na ukubwa wa ndani.
Hata hivyo, Bei na sifa nyingine za matoleo hayo zitatangazwa kesho kwenye mkutano huo. Ila tetesi zilizopo bei ya juu itakuwa ni dola $1449 sawa na Tsh Milioni 3.3 .

Usikubali kupitwa na chochote kile tembelea App hii kila mara kupata Habari zote zinazojiri Tanzania na nje ya Tanzania katika Michezo, Magazeti, Mahusiano, Elimu, Ajira, Video, Audios, Tamthilia na Udaku.