PICHA: MASHABIKI YANGA WAIFUATA YANGA ZAMBIA
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Msafara wa mashabiki wa Yanga kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Zambia tayari uko njiani ambapo utaungana na msafara mwingine wa mashabiki ambao wataianzia safari Mbeya mjini na Tunduma.
Mabasi matano yanapeleka mashabiki Ndola Zambia ambako ndiko mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa kati ya Zesco dhidi ya Yanga utapigwa.
Uwepo wa mashabiki wa Yanga uwanjani hapo Jumamosi utaongeza ari ya wachezaji na kutafuta matokeo chanya kwa maslahi ya Klabu, Wanayanga na nchini kwa ujumla.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
Msafara wa mashabiki wa Yanga kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Zambia tayari uko njiani ambapo utaungana na msafara mwingine wa mashabiki ambao wataianzia safari Mbeya mjini na Tunduma.
Mabasi matano yanapeleka mashabiki Ndola Zambia ambako ndiko mchezo wa marudiano ligi ya mabingwa kati ya Zesco dhidi ya Yanga utapigwa.
Uwepo wa mashabiki wa Yanga uwanjani hapo Jumamosi utaongeza ari ya wachezaji na kutafuta matokeo chanya kwa maslahi ya Klabu, Wanayanga na nchini kwa ujumla.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.







