TANZANIA YAREJEA BONGO KISHUJAA
Baada ya kufanya maboresho katika App yetu sasa tunakuomba ufanye ku update ili kuendelea kupata habari zetu zote pamoja na kutazama mechi live, kusikiliza radio zote za Tanzania na mengine mengi katika ubora zaidi
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
TIMU ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20 'Ngorongoro Heroes' leo imerejea ikiwa na ubingwa na kupokelewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe.
Ngorongoro imetwaa ubingwa huo jana kwenye michuano hiyo iliyofanyika nchini Uganda kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kenya.
Tanzania haikupoteza mchezo hata mmoja kwenye michuano hiyo ililazimisha sare ilipocheza na Kenya kwenye hatua ya makundi.
Ilikuwa kundi B lenye timu nyingine za Zanzibar, Ethiopia, Kenya.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.
ILI KU UPDATE BOFYA👉👉👉 HAPA
HAKIKISHA UMEUPDATE
TIMU ya Taifa ya Tanzania chini ya umri wa miaka 20 'Ngorongoro Heroes' leo imerejea ikiwa na ubingwa na kupokelewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe.
Ngorongoro imetwaa ubingwa huo jana kwenye michuano hiyo iliyofanyika nchini Uganda kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kenya.
Tanzania haikupoteza mchezo hata mmoja kwenye michuano hiyo ililazimisha sare ilipocheza na Kenya kwenye hatua ya makundi.
Ilikuwa kundi B lenye timu nyingine za Zanzibar, Ethiopia, Kenya.
Zaidi Na Zaidi Tembelea App Hii Kila Mara , Kila Saa Kupata Habari Zote Zinazojiri Tanzania Na Nje Ya Tanzania Katika Mapenzi Na Mahusiano, Elimu, Ajira, Michezo, Maisha, Magazeti, Videos, Audios, Tamthilia Na Burudani.