Breaking News

Video: Mtoto wa Dudu Baya afunguka mazito: Akamatwa mara 15, Dawa za Kulevya na Ukabaji avitaja

Mtoto wa rapa mkongwe Dudu Baya, Wille amefunguka kuzungumzia jinsi maisha yake yalivyoaribika kutokana na kukaa mitaani na wahuni, amekiri kwamba ishu za madawa ya kulevya na ukabaji ndio maisha ambayo anapitia kwa muda mrefu kutokana na marafiki anaoishi nao.



UPDATE NIJUZE HABARI APP, CLICK HERE